Emmanuel Alden
JF-Expert Member
- Jun 7, 2016
- 388
- 486
kilaza hiloooooooooooo[emoji33] [emoji33] [emoji33] [emoji33]
Heshima upanxe mmoja?Acha kumdhalilisha Lowassa, au kwasababu hana jeshi la kuja kuwazingira?
Tujifunze heshima mkuu.
Na wewe mambo yako na busara yako ni kipimo cha fikra yako. sio lazima Serikali mpyaaa kwa maana ya upinzani basi ni shida. Bali ni mtazamo wa kiongozi ... mfano serikali yetu kwa sasa mwongozo walionao ni tofauti na na serikali ya awamu ya nne na zote ni ccm.kuna kitu watu wanashindwa kukielewa, ukiwa mgonjwa ili upone lazima upate maumivu kidogo, so kama ni sindano huwezi kusema kwakuwa yeye ni daktari basi akichomwa sindano haitauma! Nchi ilipokuwa imefikia, ili ipone inabidi tuumie kidogo hakuna cha nani wala nani. Hata ingekuwa ni upinzani, tena ndo tungeumia zaidi maana ni kama unachomwa sindano na daktari ambaye siyo mzoevu.
Mambo yako na busara yako ni kipimo cha fikra yako.kuna kitu watu wanashindwa kukielewa, ukiwa mgonjwa ili upone lazima upate maumivu kidogo, so kama ni sindano huwezi kusema kwakuwa yeye ni daktari basi akichomwa sindano haitauma! Nchi ilipokuwa imefikia, ili ipone inabidi tuumie kidogo hakuna cha nani wala nani. Hata ingekuwa ni upinzani, tena ndo tungeumia zaidi maana ni kama unachomwa sindano na daktari ambaye siyo mzoevu.
hakuna mwaka uliosubiriwa kama 2015 na hautakuwepo tena kwa miaka 40 ya hivi karibuniTusubiri 2020
Hahhaa mkuu huu mchezo hauhitaji hasira, km ambavyo magu alisema hapa kazi tu Lowasa alisema tutakuwa matajiriii...m js rolling on their words man...lolHicho alichoandika huyo mdau ni swali?? ? swali lipo wapi ulilojibu hapo..kazi kubwabwaja hata ulichoandika hujui!! Wewe ni wa hovyo kabisa....
Lowasa ni hazina ya Taifa
Kama tungemchagua Lowassa kuwa Raisi wa wa 5 wa JMTZ unafikiri mpaka sasa hivi ni nini kingekuwa kimetokea? Unafikri wagonjwa Muhimbili wangetoka sakafuni na kuhamia kitandani? Unafikiri Lowassa, Mbowe Lisu &Co. wangeacha kutumia milioni 250 na badala yake kuzipeleka Hospitali kusaidia Watanzania? Rejea Tundu Lissu kutetea milioni karibia 300 walizokuwa walipwe kama Wabunge, je angeziacha hizi za juzi kama angekuwa na madaraka?
Unafikiri Lowasa na Mbowe wangeahirisha kuuza sura Disemba 9 na badala yake kutumia hizo fedha kwa ajili ya maendeleo?
Unafikiri Lowassa na Mbowe wangefuta safari za nje ya nchi?
Mke wa Lowassa unafikiri leo hii angekuwa kimya kama mama Janeti au tayari angeshaanzisha NGO na sia ajabu sasa hivi angekuwa yuko safari ndefu ya Marekani na Ulaya kuuza wazo lake?
Mungu bado hajachoka na sisi Watanzania anatupenda na ndiyo maana ametuongoza na tukafanya maamuzi ya busara, leo hii ukiwauliza waliompigia kura Dr. Pombe Magufuli kama wana majuto yoyote ya kufanya jibu lake ni HAPANA kubwa!
Kwa Lowasa hiki anachofanya Magu ni cha mtoto. Tungelishuhudia mabadiliko ya kasi tena bila kutumia magufu kama anavyofanya Magu. Halafu lazma kuwa systematic, siyo kila kukicha unatoa jambo jipya bila kufanya analysis ya lile la jana ni kwa kiasi gani umefikia au kukaribia lengo.
Jirani yangu angekuwa anakula milo mi3 per day