sirluta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2012
- 6,324
- 2,494
katiba ingefanyiwa mabadiliko ya haraka mkuu, hakuna linaloshindikana chini ya juaCo kweli Rostam asingekuwa PM coz hakugombea jimbo lolote na kigezo cha PM ni lazima uwe mbunge wa kuchaguliwa jimboni jidanganye mwenyewe.