Fikiria leo hii Lowassa angekuwa Rais!

Fikiria leo hii Lowassa angekuwa Rais!

Tatizo la umeme lingekwisha kwani Hale na Kihansi yangejaa kwa mvua za kutengeneza.
 
Baraza la mawaziri lote lingetokea kaskazini sijui kama sisi wa Tanga wanatufikiria katika uskazini au wametuweka pamoja na wa pwani sifahamu.

Mnapoteza muda kwa mambo ambayo hayapo badala ya kujadili budget iliyoshindwa siku ya kwanza tuu kuanza kutumika.

Au mpaka msikie gavana wa BOT na Bosi wa TRA zimepigwa Nguni ndio mtafatilia? Mzee Uchwara mambo yamemshinda mapema na amevunja rekodi ya dunia kwa failure speed
 
Ingekuwa Maisha bora kwa mtanzania season 2 RELOADED!!!

Apo wafagizi wa sekta nyeti zote wangetoka Ndizi republic huku wengi wakimiliki Mighorofa ya biashara jijini.

Wale waenda china wote wangemiliki uchumi wa kutisha, matambo ya private plates ndio yangekuwa balaa insta!

Rasilimali zote wangegawana mafisadi, huku wakizidi kuingia mikataba kandamizi kwa mtu wa chini na hali ya kutishiana maisha ndio ingezidi kuota mizizi, ukipishana kauli na mtu unaulizwa "unanijua mimi ni nani uku ukioneshwa mguu wa kuku?''

Fedha ingezidi kushuka thamani maana kila mtu angekuwa nazo nyingi isivyo halali.
 
Mnapoteza muda kwa mambo ambayo hayapo badala ya kujadili budget iliyoshindwa siku ya kwanza tuu kuanza kutumika.
Au mpaka msikie gavana wa BOT na Bosi wa TRA zimepigwa Nguni ndio mtafatilia? Mzee Uchwara mambo yamemshinda mapema na amevunja rekodi ya dunia kwa failure speed
Kwa mara ya kwanza tunashuhudia kushindwa kwa bajeti siku ya kwanza
 
Hili Jambazi kamwe haliwezi kugusa ikulu.
 
DJ Mbowe angekuwa anajenga ofisi mpya ya chagadema
 
Kila mwananchi angekua tajiri kama alivosema haha,
Usidanganyike ww.. utajili hauji ivi ivi & haiwezekan wote tuwe matajili nchi itakosa balance then depression ingetokea
 
Halima Mdee angekuwa waziri wa wanawake, jinsia na watoto.
 
Mimi huwaga najipa matumaini kwa yaliyotokea afrika ya kusini,Mandela alikaa jela kwa 27 yrs lkn akaja kuwa rais wa nchi
wewe usijidanganye, hizi siyo enzi za Sokwe, tupo generation ya 4, watu unaoweza kuwafikiria kwenye mizani hiyo ni vijana waliokomaa katika siasa kama Julius Malema, Zitto Kabwe na siyo huyo Dingi!
 
kwa njia ya miujiza siyo? Hahaha kwanza Rostam ndo angekuwa PM na ikulu ingehamia Monduli. Tungekuwa tuna hali mbaya hadi tukome!
Co kweli Rostam asingekuwa PM coz hakugombea jimbo lolote na kigezo cha PM ni lazima uwe mbunge wa kuchaguliwa jimboni jidanganye mwenyewe.
 
Back
Top Bottom