Fikiria leo hii Lowassa angekuwa Rais!

Fikiria leo hii Lowassa angekuwa Rais!

Kwa miaka 55 toka Tanzania kupata uhuru bado watanzania tunatawaliwa na ccm na ilali za ccm na sera za ccm na nguvu za ccm na viongozi wa juu wa ccm na wizara za vyombo vya Dola vya ccm.

Sasa unapo taka kujua lambele kuhusu Mh Luwassa kwanza uyajuwe haya kua mlimwengu wa sasa ni wakidemocrasia .

Tukisema Luwassa angefanya nini tusihukumu kitu wakati haja pewa nchi, na kama ni ufisadi basi ccm ndiko jikoni .

Watanzania tujuwe kua bila ya ccm hakuna chama chengine no nilazima tuwe na cherging za mageuzi ili kuwa na compatation ya vyama na kupima wananchi kipi kinatufaa sio toka tuzaliwe ni ccm tu.

Hata biashara basi ina kompatosheni kila wakipunguza bei ndio faida kwa mteja na ccm ikiwekwa mpande ndio itajipanga upya.

Tusihadaliwe na Kuona Mh kaja kwa moto wa juu hii ni kutokana na chalengi ya uchaguzi wa mwaka huu ndio ccm ikajaribu kujitasmini .

Tujiulize na ss kama si ushindani mkubwa jee ccm ingekua vipi? Besszness usual.

Bado watanzania tuko maskini haliyakua nchi na viogazi ni mamilionea huku wananchi tukizidi kutumbukia katika maisha mangumu.
 
Jumamosi ya leo, maduka Kariakoo yangefunguliwa mapema kama kawaida! So ningepata faida zaidi!
 
Nawaeshim xana umu ndan heshima ifuatwe mwacheni mzee wawananchi anaeewajali wanyonge naamini buxara yake matunda yake yanaonekana
 
Tena ndipo tungetambua kweli miaka yote tulikua tunapoteza mda nikwanini tucngempa nchi mapema salut kwa lowasa
 
Tungefanikiwa kumuondoa mkoloni mweusi,tungeanza upya kujenga mfumo imara!
 
Ni swali tu nawauliza wadau kwamba Lowasa angeshinda nafasi ya Uraisi, leo hii tungekuwaje? Ama hii nchi ingekuwaje? Kipi unadhani kipya tungekuwa nacho?
Tungekuwa tunaishi kama ulaya tu
 
Back
Top Bottom