habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,789
- 8,753
Bila shaka tuanze na Jk, Mzee wa wapumbavu na malofa halafu tumalizia kwa LowassaSerikali imchunguze huyo Lowasa. Tuliambiwa kuwa Lowasa ni tajiri mkubwa ijapokuwa sioni utajiri wake. Inawezekana ana biashara za magendo ambazo halipii kodi