WaitTupia hata kapicha basi,sisi wwngine tv tayari mwenye nyumba ashaizima.
PoleKeleleeee zinaboa kichiz
Zaiid wowowo
Ndiyo nanihivi saida kaloli atakuepo?




Mimi nipo hapa kinondoni kwangu nashindwa kutuliza akiri na kupumzika baada ya mizunguko ya mchana kutwa kwani nasikia makerere ya misauti ya miziki kutoka huko kumbe, ni hilo fiesta... Dah bora mkuu angezuia tu watu tupate muda wa kupumzika kwa hiyo leo sitapata usingizi kabsa.... Ila sio mbaya mwaka ujao haitafanyika tena hapo.....
Ameingia na wadada wembamba hawajapendeza wamevaa magauni kama milango ya mwendo kasiBen paul ameingia na kitu kizuri
Kwanza wote wamefika stejini kila mmoja yuko bize na selfieAmeingia na wadada wembamba hawajapendeza wamevaa magauni kama milango ya mwendo kasi
plaanned iwe vileeeeee....ujawahi endaa harusiniiiKwanza wote wamefika stejini kila mmoja yuko bize na selfie
Mimi mkuu nilifunga ya serikalini haina mbwembweeeplaanned iwe vileeeeee....ujawahi endaa harusiniii
Anajua kweliben pol hatareeeeeeeeeeeeeeeee
Wee achaaa mkuuBomani sio![]()
![]()
![]()