Fiesta DSM 2017 Special Thread;

Fiesta DSM 2017 Special Thread;

Mimi nipo hapa kinondoni kwangu nashindwa kutuliza akiri na kupumzika baada ya mizunguko ya mchana kutwa kwani nasikia makerere ya misauti ya miziki kutoka huko kumbe, ni hilo fiesta... Dah bora mkuu angezuia tu watu tupate muda wa kupumzika kwa hiyo leo sitapata usingizi kabsa.... Ila sio mbaya mwaka ujao haitafanyika tena hapo.....
 
23915649_1651216184921793_6392683896560129546_n.jpg
23844808_1651216088255136_4813178218214465240_n.jpg


Chin bees on stage TIGO FIESTA...
Mr Kababayeee.....
 
Mimi nipo hapa kinondoni kwangu nashindwa kutuliza akiri na kupumzika baada ya mizunguko ya mchana kutwa kwani nasikia makerere ya misauti ya miziki kutoka huko kumbe, ni hilo fiesta... Dah bora mkuu angezuia tu watu tupate muda wa kupumzika kwa hiyo leo sitapata usingizi kabsa.... Ila sio mbaya mwaka ujao haitafanyika tena hapo.....
Acha kudeka mkuu wewe sema huna usingizi tu,....usingizi ukiwepo hata kwenye boda boda utalala.
 
Ahahahh mambo za fiesta na me tofauti fujo huko nipo hapa naangalia clouds plus rosaree kapendeza nimependa kivazi chake
Niko na aleji na masauti ya miziki huwa napenda utulivu... Yaani hata kama Nataka kusinzia mtoto akikohoa tu bas usingiz unakata kabsa hadi nianze kuutafuta tena..... Sasa na kwa hayo mamiziki ndio sitalala kabsa...
 
Niko na aleji na masauti ya miziki huwa napenda utulivu... Yaani hata kama Nataka kuzinzia mtoto akikohoa tu bas usingiz unakata kabsa hadi nianze kuutafuta tena..... Sasa na kwa hayo mamiziki ndio sitalala kabsa...
Pole sana
 
Back
Top Bottom