Fiesta DSM 2017 Special Thread;

Fiesta DSM 2017 Special Thread;

Nimegundua pia fuatilia wasanii ambao wana elimu kidogo na wale waliokimbia shule huwa show zao zinatofautiana kiasi kikubwa, mtu kama alikimbia shule wakati anasoma ya ye yi yo yu akipanda jukwaani lazima aanze sema yeyaaaa yoyoooooo yayaaaaa yuyuuuuu.
 
Leo nimeamini acha wa congo wabaki kuwa wa congo tu. Sisi bado sana tena sana live music hatuwezi. Shame kwa wanamuziki wa Tz wajiangalie sana watapotea. Mimi binafsi very dissapointed. Waende studio tu wakachuje sauti kuimba live waachie kina Fally Ipupa.
 
Back
Top Bottom