screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,902
- 15,928
Na hao wanaamsha amsha ingawa mwakahuu hawako moto sana kama last yearShow ya weusi na Ben Paul Dodoma ilikuwa hatar hapa nasubir weus nikalale
Na hao wanaamsha amsha ingawa mwakahuu hawako moto sana kama last yearShow ya weusi na Ben Paul Dodoma ilikuwa hatar hapa nasubir weus nikalale
PooohNikisema Nyandu nyie mnasema TOZI, huu ujinga haivumiliki.
Blue akimaliza hapo akanawe atakuwa tayari amejinyea...anajikamua sana
![]()
![]()
![]()
![]()
Yaani anakakamaa kama kabinywa pumbuIla mm niliwaona Dom waliniamsha kweli kweli wamejipangaNa hao wanaamsha amsha ingawa mwakahuu hawako moto sana kama last year
Mteme....poooooh! ptuuuuuuh!Kabisa yan alafu anataka kuleta ya enzi zile pamba za blue jaman mbn anataka watu tukimbie tv
Poooh sjui anahadithia nn sema wowowowowowow pooohMteme....poooooh! ptuuuuuuh!
Sema wowoooooo![]()
![]()
Yaani anakakamaa kama kabinywa pumbu
wasanii wa bongo bana.

Nimegundua pia fuatilia wasanii ambao wana elimu kidogo na wale waliokimbia shule huwa show zao zinatofautiana kiasi kikubwa, mtu kama alikimbia shule wakati anasoma ya ye yi yo yu akipanda jukwaani lazima aanze sema yeyaaaa yoyoooooo yayaaaaa yuyuuuuu.

Aaaah Wewe!![]()
![]()
Yaani anakakamaa kama kabinywa pumbu
Ngoja tuoneRostam juu ya steji