paparazimkuu
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 1,082
- 1,429
Tatizo wasanii wa kibongo stori nyingi stejini..... Wameanza vizuri na bado wana mawe ya kutosha lakini wanaanza mambo ya arsenal na Manchester jukwaani
Ndo tatizo laoTatizo wasanii wa kibongo stori nyingi stejini..... Wameanza vizuri na bado wana mawe ya kutosha lakini wanaanza mambo ya arsenal na Manchester jukwaani
Sasa mtu anashabikia timu mbilimbili ana akili kweli?Tatizo wasanii wa kibongo stori nyingi stejini..... Wameanza vizuri na bado wana mawe ya kutosha lakini wanaanza mambo ya arsenal na Manchester jukwaani
Umelalalla mm mpaka 10/Usiku mwema jamani hizi show zimenishinda
Ben Paul thenHadi sahivi hakuna aliyefanya show ya kuifunika ya Ben Pol