Fiesta DSM 2017 Special Thread;

Fiesta DSM 2017 Special Thread;

Jukwaa lina dance na Aslay
Kiba clouds wanakujua kumbe wamekuhujumu nakumbuka mombasa ulikataa ku perform before Wizkid lakini Dar ume perform before Aslay you knew it au was manipulated ha ha ha ha kiba level zake ni Aslay hadi clouds crew know it
 
Natamba*2 kilichonishawishi ni upole wako na heshima yako,wazazi wangu walikusifia sana kwa tabia yako,sura yako ya upole walahi ww Aslay ww
 
Naona BABA DAB kaamua kupata pointi 3 za mwisho
Haya baba acha tumalizie na TMK hadi jua lichomoze
Kama Bashite alikuwa ameshajiandaa yupo njiani now apitilize kanisani tu awahi misa ya 1
 
Kiukweli Fiesta wamezingua sana tena sana, hakukua na chochote zaidi ya kelele, tukubali tu kua kuna wasanii wa live band na matamasha yao, sio kila msanii anaweza/anapendeza kupiga live band na sio kila tamasha ni la kupiga live band.... wanapaswa wajitafakari upya na kufuta makosa yao, kuiga iga sio kuzuri, vyombo vibovu, back vocal wabovu au sijui walichoka maskin ya Mungu wangekua hata wanawabadilisha.

SHAME.
 
Kitendo cha jana watu kufurika fiesta kinaonyesha Magufuli hajabana na uchumi unaenda vizuri , kinyume na inavyohubiriwa na mawakala wa shetani kwamba uchumi umesinyaa na wananchi hawana hela mfukoni.

Hivi mwananchi kama hajala kabisa na hana hela mfukoni ,je hela ya kuingilia huko fiesta ataitoa wapi??

Hii ni aibu kubwa sana kwa chadema.
 
Kitendo cha jana watu kufurika fiesta kinaonyesha Magufuli hajabana na uchumi unaenda vizuri , kinyume na inavyohubiriwa na mawakala wa shetani kwamba uchumi umesinyaa na wananchi hawana hela mfukoni.

Hivi mwananchi kama hajala kabisa na hana hela mfukoni ,je hela ya kuingilia huko fiesta ataitoa wapi??

Hii ni aibu kubwa sana kwa chadema.
Dawa za kuua Wadudu Kwenye Nyanya Zimeharibu Uwezo Wako Wa Kufikiri...Sikushangai
 
Kama msongamano wa magar dsm ulichukuliwa kuwa ndo kigezo cha maisha bora kw mtz ..hata wewe sikushangaii
 
Back
Top Bottom