Omydimpoz jaman poooh joto LA dar anavaa sut anajikutaga handsome huyu ashukuru kiba anamlindia nyotaaa poooh na suruali sjui kitenge mwenyewe anaona katoka poooh nyota yake kidogo ipotee sjui ulienda kuoga kwa babu gani mxeeew
Ooh jamani mke mwema lazima atoe taarifa.. na kwanza unafikiri amelala.. mmmmh inaonekana umekuwa mwanafunzi wa Mshana Jr kuanza kuwanga unazurura na ungo usiku.. kwa hili umekosea.. 😀
Mond anapendwa kwakua analeta swaga za umarekani kwa mwonekano. Na ushamba wetu ndo tunasema ndo msanii mzuri kumbe hakuna kitu. Amini nakuambia siku watu wakiuchoka umarekani wake kama walivyouchoka wa zilla, mtashangaa.
Mond sio mwanamuziki bali ni msanii. Sijui kama emenielewa