FID Q sumu ngoma jipya

FID Q sumu ngoma jipya

Fid q kashindikana, kwenye hii game kabaki mwenyewe anaicheza anavyotaka.

Anakwambia sumu ndani ya watu na ndio hapo tunapokwama... Tunamoka ili kusafiri kihisia, ndio mstari wangu mpaka sasa umo.

Mstari alioniacha ni "na sio bikaka kama Idris" "hakuna ambaye hakosi labda Zizi kwa deeandy "
Big Kaka
 
STRICTLY HIPHOP
Maisha hayakupi unachotaka/

Ila yanakupa unacho tafuta/
_______________________________

Wema anataka saa almas/

Zari anaujali muda/
________________________________
Hawaamin kwenye kuunda diamond au kiba wawili/

Wanachoamin ni kumshusha mmoja ili mmoja awe
dili/
__________________________________________

Daaah hzo punch nmezielewa sana

#Msukuma_Genius
#Happy birthday @therealfidq
#SUMU
Daaah balaaa Sana kawagusa wadau wenye kushikilia industry ya music bongo mawinguuu
 
Hahahahahah achana nao hao machalii tunawajua, shughuli ya NGOSHA inawanyima usingizi.. Wanakwambia anakopi kwenye vitabu, ukiwaambia wakutajie mstari na kitabu alichonyofoa huo mstari hakuna watachojibu zaidi ya kutafuta kisingizio kingine cha kujifariji... Hawana jipya baada ya wale jamaa zao kupoteza dira na komesho zao zisizo commercial

Kweli mkuu,inatakiwa tu sit back na tu relux tuinjoi kipaji hiki akiwa hai...jamaa ni alien aisee...tuache kua bitter jamaa lyrically ni 100% na delivery yake ni 100%....

I really enjoy havin Fid Q in my iphone,jamaa sio wa kawaida kabisa mkuu
 
Huyu ndio real Ngosha,aliniangusha sana kwenye Walk It Off.
Nimependa sana ile intro ya kisukuma
 
Sugu alikuwa anatumia mistari ya kawaida kwenye nyimbo zake ila zilikuwa kali kuliko maelezo.

Huyu Fid Q anaye-Copy mistari kwenye vitabu hadi leo hajawahi kutoa wimbo mkali kuzidi wimbo wowote wa Sugu.
 
Aliahidi kitoa track 2 kuna nyingine kaimba na Christian Bella
 

Attachments

  • 1471152764721.jpg
    1471152764721.jpg
    30.8 KB · Views: 64
Sugu alikuwa anatumia mistari ya kawaida kwenye nyimbo zake ila zilikuwa kali kuliko maelezo.

Huyu Fid Q anaye-Copy mistari kwenye vitabu hadi leo hajawahi kutoa wimbo mkali kuzidi wimbo wowote wa Sugu.

Taja mistari aliyokopi na kitabu alichokopi
 
Kweli mkuu,inatakiwa tu sit back na tu relux tuinjoi kipaji hiki akiwa hai...jamaa ni alien aisee...tuache kua bitter jamaa lyrically ni 100% na delivery yake ni 100%....

I really enjoy havin Fid Q in my iphone,jamaa sio wa kawaida kabisa mkuu

Hahahaha JF raha sana mkuu umenchekesha sana eti "I really enjoy havin Fid Q in my iphone" kwani ungesema in my phone icngeeleweka? hahahahaha daaah
 
Taja mistari aliyokopi na kitabu alichokopi
Fine hebu tutajie mistari hata miwili tu aliyo copy kwenye kitabu chochote. Utupe na mwandishi tafadhar. Hiv ww unafiki kusoma kitabu ni kaz rahis??? Tutajie kitabu ulichosoma ww tokea huu mwaka uanze .
 
Pitia michango yote iliyotolewa utaona kuna mdau ameweka mfano mmoja hapo.

Kwa hiyo unasema FID Q anakopi halafu hujui hata alichokopi na anapokopi?
 
Fid Q hatari sana, kama hauko vizuri upstairs huwezi mwelewa wala kupend nyimbo zake, ila mim kwa sasa simpend toka alipoamia kwa mkolon mweusi
 
Mistari ya kukopi kwenye vitabu...halafu nasikia jamaa anatumia ngada...?
Ukiwa msomaji wa vitabu mambo mengi sana utayapata huko.Watu wengi siku hizi wanapenda nyimbo za kukata viuno hili ni tatizo!!Ukisikiliza nyimbo za huyu jamaa lazima ujifunze kitu big up kwake!!
 
Back
Top Bottom