Asu tz
JF-Expert Member
- Dec 10, 2011
- 336
- 86
Google Fid Q utapata picha zake nyngdaaaaaaaaaaaaah tuma na pic ya fid q mana nataka n mpost inst
bz leo n bday yke
Google Fid Q utapata picha zake nyngdaaaaaaaaaaaaah tuma na pic ya fid q mana nataka n mpost inst
bz leo n bday yke
Na wewesi usome hivyo vitabu nawe utowe mistari...kichwa kama tikitiMistari ya kukopi kwenye vitabu...halafu nasikia jamaa anatumia ngada...?
Ndio tatizo kubwa la fid q mistari mingi ni nahau tu.tunahitaji real talk hilo la ngada sijui!!Mistari ya kukopi kwenye vitabu...halafu nasikia jamaa anatumia ngada...?
Wanataka mistari ya sms za tigo za waoendanaoNa wewesi usome hivyo vitabu nawe utowe mistari...kichwa kama tikiti
Real talk ....kaangalie/kasikilize spora talk show utapata ukitakacho.Ndio tatizo kubwa la fid q mistari mingi ni nahau tu.tunahitaji real talk hilo la ngada sijui!!
na huyo ni mzee wa kupakua.ina ladha kama see you when you get there ya coolio
Hapo mpaka mtu atulie ndo atamuelewa huyu anataka saa yule anajali muda ina maana anae jali muda tayari saa anayo? lazima kichwa kikuume kwanza kuielewa mistari yake tupo pamoja kaboom.Wema anataka saa ya Almasi..Zari anaujali muda..Teh
Hapo mpaka mtu atulie ndo atamuelewa huyu anataka saa yule anajali muda ina maana anae jali muda tayari saa anayo? lazima kichwa kikuume kwanza kuielewa mistari yake tupo pamoja kaboom.
Unaitwa sumuHyo nymbo inaitwaje??