FID Q sumu ngoma jipya

FID Q sumu ngoma jipya

STRICTLY HIPHOP
Maisha hayakupi unachotaka/

Ila yanakupa unacho tafuta/
_______________________________

Wema anataka saa almas/

Zari anaujali muda/
________________________________
Hawaamin kwenye kuunda diamond au kiba wawili/

Wanachoamin ni kumshusha mmoja ili mmoja awe
dili/
__________________________________________

Daaah hzo punch nmezielewa sana

#Msukuma_Genius
#Happy birthday @therealfidq
#SUMU
akili ya ziada inaitajika kumuelewa
 
Sugu alikuwa anatumia mistari ya kawaida kwenye nyimbo zake ila zilikuwa kali kuliko maelezo.

Huyu Fid Q anaye-Copy mistari kwenye vitabu hadi leo hajawahi kutoa wimbo mkali kuzidi wimbo wowote wa Sugu.

Lets be serious bro....kiroho safi
 
Hahahaha JF raha sana mkuu umenchekesha sana eti "I really enjoy havin Fid Q in my iphone" kwani ungesema in my phone icngeeleweka? hahahahaha daaah

Yaani tushafika huku kuona iphone is the big deal?Jesus christ...

Hata hujajua iphone yenyewe ni version ipi,kama ni ile iphone I ya mwanzo kabisaa?

Tutoke kwenye vidogo vidogo kama simu nk,..kwa akili yako simu ni kitu cha kuringishia?Mungu wangu..

Nimetaja makusudi maana waelewa wameelewa kua iphone huingizi nyimbo pirated kibwegebwege,unanunua itunes kumsapoti Fid Q,ndio maana ya uzalendo,dola 0.99 kwa nyimbo oficial audio ni jambo zuri..

Haya nenda karingishie "simu"...aisee
 
Ukiwa msomaji wa vitabu mambo mengi sana utayapata huko.Watu wengi siku hizi wanapenda nyimbo za kukata viuno hili ni tatizo!!Ukisikiliza nyimbo za huyu jamaa lazima ujifunze kitu big up kwake!!

Mkuu sijui huyu jamaa anataka asome nini?Vitabu ndio mpango mzima..2pac mwenyewe alikua anamsoma Niccollo Machiavelli,Sun Tzu,etc kupita maelezo...sasa yeye anategemea an empty head can survive in real hiphop kivipi kwa mfano?
 
Hakika huyu jamaa ana kipaji cha pekee sana sijawai ona..! Hongera kwake..
 
Fine hebu tutajie mistari hata miwili tu aliyo copy kwenye kitabu chochote. Utupe na mwandishi tafadhar. Hiv ww unafiki kusoma kitabu ni kaz rahis??? Tutajie kitabu ulichosoma ww tokea huu mwaka uanze .
Joh Makini ndio anawadanganya hao eti hakopi kwenye vitabu. Inabidi wakamuulize Huyo Joh eti Fid anakopi vitabu gani!? Labda anaweza kuwatajia. Hahahaaaa.
 
Mistari ya kukopi kwenye vitabu...halafu nasikia jamaa anatumia ngada...?
We jamaa.acha ujinga....ebu.sikiliza upya hata kale kamstar aliko mtaja wema,zari mond na kiba...au ndio nyinyi wenye chuki binafsi
 
Asitumie nguvu sana kuimba hiyo nyimbo, haina walaji@&$ aendane na soko lililokuwepo, that's too hard to understand the content, Jana usiku nilikuwa namsikiliza clouds fm kwa mara ya kwanza anarelease ikafika hatua wale presenter wakaweka mistari aifafae akawa ye mwenyewe hajui ipo sehemu ganiiiii>>kituko ikabidi wazuge, hata pale mwenyewe alipoambiwa afafanue mstari kwa mstari sikuwa namuelewa maana anarudia maneno yaleyale badala ya kufafanua maana halisi ya content, So Fid kwenye hii ngoma kazingua, aache hizo huu wimbo hautakaa sana sokoni utapokea within very few weeks, time will tell
Inaonekana haupo interested na music anaofanya fid q (under ground hiphop) ndo maana unatafuta point of weakness ili jamaa aonekane wack....but inshort akiamua kuitafsiri hiyo ngoma ya sumu patatokea uchonganishi mkubwa sana,maana ngoma nzima kazungumzia mambo yanazngua kwenye tasnia ya sanaa,ndo maana unakuta hakutaka kutoa ufafanuzi wa zaidi .... ila cheki interview zake youtube ndo utaelewa kama jamaa ana uwezo kiasi gani pia zipo ambazo alifafanua mistari ya nyimbo zake ..... huwa anapenda kufafanua mambo ya kijamii zaid.
 
Back
Top Bottom