PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,178
daaaaaaaaaaaaah tuma na pic ya fid q mana nataka n mpost inst
bz leo n bday yke
daaaaaaaaaaaaah tuma na pic ya fid q mana nataka n mpost inst
bz leo n bday yke
Asitumie nguvu sana kuimba hiyo nyimbo, haina walaji@&$ aendane na soko lililokuwepo, that's too hard to understand the content, Jana usiku nilikuwa namsikiliza clouds fm kwa mara ya kwanza anarelease ikafika hatua wale presenter wakaweka mistari aifafae akawa ye mwenyewe hajui ipo sehemu ganiiiii>>kituko ikabidi wazuge, hata pale mwenyewe alipoambiwa afafanue mstari kwa mstari sikuwa namuelewa maana anarudia maneno yaleyale badala ya kufafanua maana halisi ya content, So Fid kwenye hii ngoma kazingua, aache hizo huu wimbo hautakaa sana sokoni utapokea within very few weeks, time will tell

STRICTLY HIPHOP
Maisha hayakupi unachotaka/
Ila yanakupa unacho tafuta/
_______________________________
Wema anataka saa almas/
Zari anaujali muda/
________________________________
Hawaamin kwenye kuunda diamond au kiba wawili/
Wanachoamin ni kumshusha mmoja ili mmoja awe
kwenye huu mstari, salam ziwafikie mutahaba & company. kwa tabia zao za kuwagawa wasanii #shenzy type mawingu#
dili/
__________________________________________
Daaah hzo punch nmezielewa sana
#Msukuma_Genius
#Happy birthday @therealfidq
#SUMU
Ha ha ha ha watu wanataka shake your butty shake your buttyMistar mizuri ....but ....walaji wake wachache siku hizi
.
Kizazi hiki wanapenda sana nyimbo za mrengo wa kushoto
Mistari ya kukopi kwenye vitabu...halafu nasikia jamaa anatumia ngada...?
wema anataka saa ya dhahabu siop ili aitumie kwenda na muda bali aitumie kuuzia sura mtaani, Zari haihitaji kuuza sura anahitaji kiwenda na muda tu kiivyovyote vile na kwa saa ya aina yoyote ile.Hapo mpaka mtu atulie ndo atamuelewa huyu anataka saa yule anajali muda ina maana anae jali muda tayari saa anayo? lazima kichwa kikuume kwanza kuielewa mistari yake tupo pamoja kaboom.
Yaah lazima utulie ndio umuelewe kwa mwenye akili fupi atadhani kataja majina apate vina.wema anataka saa ya dhahabu siop ili aitumie kwenda na muda bali aitumie kuuzia sura mtaani, Zari haihitaji kuuza sura anahitaji kiwenda na muda tu kiivyovyote vile na kwa saa ya aina yoyote ile.
wanasema eti anachukua kwenye vitabu, shwain kabisa sasa walitaka achukue wapi hawa? hao wasiochukua kwenye vitabu wanatuimbia nini? Perfect combo au?Yaah lazima utulie ndio umuelewe kwa mwenye akili fupi atadhani kataja majina apate vina.
hahahaha wanahitaji vitu rahisi yeye anawapa vitu halisi, asante FaridNgoma niliiskilza jana juu juu.. Nikahtaji kuipata kuisklza ktk utulivu..
Bonge la ngoma, kama kawaida yake.. Kifup hamna kama huyu jamaa kwa mambo hizi.. Mistar sumu ya koboko.
Hakuna jambo jipya katika utunzi wa nyimbo ila ni ubunifu wa kuchanganya maneno tu kama ni mapenzi yameongelewa vizazi na vizazi so bila kunuuu labda wanataka alete maneno mapya.wanasema eti anachukua kwenye vitabu, shwain kabisa sasa walitaka achukue wapi hawa? hao wasiochukua kwenye vitabu wanatuimbia nini? Perfect combo au?
Wabongo wengi hawapendi kufikiria...Wamezoea kubinua makalio tu kwenye vigodoro ...Nyimbo za kufikirisha au zenye ujumbe wao hawana time nazo.....Wanataka waimbiwe tu Kidogo dogoo wacheze Au Chekecha cheketua yani hapo ndo umewafikisha.....Ipo siku tu mtamuelewa FidHuyu jamaa muzik wake utaishi miaka mingi saanaa