Hivi kuna mtu anamsikilizaga GHETTO AMBASSADOR... mbona haigi!?
Sanaa gani hii ya kukopi!? Kuna vingi vya kuimba jamani... Madawa ya kulevya na Maradhi... Rushwa na Ubaguzi wa Rangi.
Mwambieni.. Aumize kichwa kama Anavyojitahidi kwenye baadhi ya Ngoma za Kushilikishwa.
we ni hater tuu,nishakusoma kitambo na nakufatilia katika kila post inayomuhusu Fareed..!!!nadhani mnataka kujilazimisha mnaijua Hip Hop wakati sio kweli,hamna kipya wewe na mtoa mada Fareed ataendelea kuwa best Hip Hop MC and best lyrical kwa wakati huu
"Hayo Maneno ya kishoga, na ukiendelea nitakuteka" #NashMc .
Siijui Hip Hop.. Are you happy then!?
Sijawahi mchukia Kubanda's son.. Naongea kile ambacho kina ukweli ndani yake.. #Sihitaji_Marafiki
#Ielewe_Mitaa
#Agosti13
#Siri_Ya_Mchezo
Hizo zote ni track Kali (HATA KWANGU MIMI) lakini, Zina Walakini.. Ambao mtoa Mada Kaanza kuuanika hapa.
Hivi unakumbuka copy and paste ya Ze comedy kuhusu huyu ONE MAN ARMY!? vipi kuhusu mwanetu Langa(R.I.P), na hiki kilicholetwa na Paulo Sergio De Souz je.. Wote wanamuonea NGOSHA.!?
Sijajua hadi sasa mnaobisha kazi ya ku-copy inayofanywa na Kubanda's son mmesimamia misingi gani na wakati nondo zinashushwa hapa.
Paulo Sergio De Souz why sparing a whack rapper!?
Nasubiri uweke zingine ziwe nyingi ndo nianze kujibu.
hizo zako haziwezi kumdiscredit Top Rap Elite wa Bongo.
we ni hater tuu,nishakusoma kitambo na nakufatilia katika kila post inayomuhusu Fareed..!!!nadhani mnataka kujilazimisha mnaijua Hip Hop wakati sio kweli,hamna kipya wewe na mtoa mada Fareed ataendelea kuwa best Hip Hop MC and best lyrical kwa wakati huu
"Hayo Maneno ya kishoga, na ukiendelea nitakuteka" #NashMc .
Siijui Hip Hop.. Are you happy then!?
Sijawahi mchukia Kubanda's son.. Naongea kile ambacho kina ukweli ndani yake.. #Sihitaji_Marafiki
#Ielewe_Mitaa
#Agosti13
#Siri_Ya_Mchezo
Hizo zote ni track Kali (HATA KWANGU MIMI) lakini, Zina Walakini.. Ambao mtoa Mada Kaanza kuuanika hapa.
Hivi unakumbuka copy and paste ya Ze comedy kuhusu huyu ONE MAN ARMY!? vipi kuhusu mwanetu Langa(R.I.P), na hiki kilicholetwa na Paulo Sergio De Souz je.. Wote wanamuonea NGOSHA.!?
Ukweli utasimama.. Kua serious kwa kubonga na Fareed Q ili aache kukopi... #DANGER
Kijana mziki umeanza kuhujua jana wewe ao wanaokueleza ni old school na ndio mana wakakupa mistari ya wasanii wa mbele na kukupa mistari ya fid uyo msanii wako fid awezi kuwa best hip hop kama anacopy na kupast jombii usanii ni kazi wewe dogo ni mshabiki wa fid sio mshabiki wa hip hop jipange hip hop ni true life sio fake life
unaweza kusema amecopy bt isiwe kwel coz hat the way umehusianisha hzo lyrcs umeungaunga saaana!! fid q z a best rapper joh na itabak kua hvo mbna we cjackia hata uliocopy