miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,821
- 48,975
hatari sanaHata chungu pia huonjwa ndo tatizo hilo
hatari sanaHata chungu pia huonjwa ndo tatizo hilo
Tatizo wanakuwaga wabishi kweli kwenye hatua za mwanzo... wote huwa wanakana. lakini wakianza kunyoroka tu utawasikiaKuwa na huruma mkuu huoni wanavyokauka kama mti uliokosa maji
Taja jinaKuna msanii fulani maarufu anastua hii mambo kiaina , ....hii 2017 sidhani kama ataimaliza bila kuwa publicly. ...
Mungu akiongoze kizazi chetu kisije tumbukia katika madhila kama hayo na mengineyohatari sana
aminaMungu akiongoze kizazi chetu kisije tumbukia katika madhila kama hayo na mengineyo
Hahahaha mkuu vipi tena ebu tujuze kidogo alifanyaje?... au alikuchukulia demu?Huyo feruzi afe tu....... alichonifanyia Rose Garden akiwa na PFunk sisahau
Ha ha ha haa!~~~~>>>>Hii kitu ilinikosa kosa baada ya Jamaa yangu kuniambia kuwa Ukitumia madawa utachelewa kupiga bao [Kukojoa]..........
Namshukuru Muumba wa mbingu na ardhi ktk kuniepusha na hili.
lahaulaaaaaaa mr blue labda aache jana au leo
Hiyo kitu ukianza ni maagano ya milele...no kuacha duhlahaulaaaaaaa mr blue labda aache jana au leo
Huyu c alitangaza ameacha mpaka bangi
Dhaaaa!!! Kweli wacha sembe iitwe sembe
Aiseee unataka kuniambia hata chid ana afadhali kuliko feruzJana nimemuona Ferooz Sinza Mori pale " Lachaz" ...
Bora Chid vitz asee..
hiiii hatar wenywe wanakwambia hata papuch haion ndan kwa utamuHiyo kitu ukianza ni maagano ya milele...no kuacha duh
NOOOOOOOOOOOOPicture tafadhaliii
Mimi starehe yangu ni papuchi tu wao wale unga ila papuchi waniachie mimi.na mi niulize swali kaika starehe zote unga ndiyo wanaona ndiyo starehe nzuri?
kweli hiii n jfAlikutia kidole bro?