joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 14,906
- 31,280
Kweli mganga hajigangi sasa ule wimbo wa kijana mteja, aliouimba hata yy mwenyewe hakuuelewa au alimwimbia daz baba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alimtimua Daz Baba kwenye kundi la Daz Nundaz eti kisa kawa mteja, baada ya mda kidogo naye akawa mwanachamaKweli mganga hajigangi sasa ule wimbo wa kijana mteja, aliouimba hata yy mwenyewe hakuuelewa au alimwimbia daz baba.
waanze na hayo mapapaukipita uswahilini maeneo kama mtogole na kwingineko unakuta kuna viatu vimetundikwa juu wa nyaya, niliwahi kuuliza maana yake nini nikaambiwa ni maeneo ambayo madawa ya kulevya yanauzwa. Kama ni kweli, nina imani kama kweli polisi kitengo cha madawa ya kulevya wana nia ya dhati kutokomeza basi wangeanza kutokomeza haya maeneo pamoja na wauzaji wake. ku deal na mtumiaji wakati muuzaji anaachwa sio solution.
Arosto inaweza ikamuua mraibu, bila kua na uangalizi mzuri mraibu hushindwa kuhimili yale yanayomtokea wakati akiwa anapigania kuacha na kujikuta anarudia tena.Wakiulizwa wanaponunua hawataki kutaja, ina maana wanaogopa hawatauziwa tena? Sasa kama una nia ya dhati kabisa kuacha ni bora umtaje ili kesho asikuuzie tena
Hii wamemtumia Mange?
niadisie walikufanyaje?Huyo feruzi afe tu....... alichonifanyia Rose Garden akiwa na PFunk sisahau
Kila mtu sasa hivi anajua madhara ya unga,lkn jiulize kwanini watumiaji wanaongezeka? Me nahisi ni hujuma wanafanyiwa kama kuingiziwa kwenye vinywaji bila wao kujuana mi niulize swali kaika starehe zote unga ndiyo wanaona ndiyo starehe nzuri?
hilo nalo lawezekana haiwezekani madhara yapo wazi lakini wanazidi kuingia tuKila mtu sasa hivi anajua madhara ya unga,lkn jiulize kwanini watumiaji wanaongezeka? Me nahisi ni hujuma wanafanyiwa kama kuingiziwa kwenye vinywaji bila wao kujua
Ndio maana niliwahi kusisitiza picha za watumiaji ziwe zinawekwa kwenye magazeti na mitandao ya kijamii kuonyesha kabla na baada kama hii hapo juu,hii itasaidia kwa yule anaetaka kujaribu au ambaye hajatumia kabisa aingiwe na woga.Daah hali ni tete sana
Huruma yetu n wao waathirika kuwataja wauzaji kwanzaKuwa na huruma mkuu huoni wanavyokauka kama mti uliokosa maji
Kwa hiyo Mzee umeamua bora ubaki na show zako za dakika mbili~~~~>>>>Hii kitu ilinikosa kosa baada ya Jamaa yangu kuniambia kuwa Ukitumia madawa utachelewa kupiga bao [Kukojoa]..........
Namshukuru Muumba wa mbingu na ardhi ktk kuniepusha na hili.
ungekuwa teja~~~~>>>>Hii kitu ilinikosa kosa baada ya Jamaa yangu kuniambia kuwa Ukitumia madawa utachelewa kupiga bao [Kukojoa]..........
Namshukuru Muumba wa mbingu na ardhi ktk kuniepusha na hili.
Hata chungu pia huonjwa ndo tatizo hilohilo nalo lawezekana haiwezekani madhara yapo wazi lakini wanazidi kuingia tu