mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,099
- 104,530
Kuhusu madawa kuingia kwenye matumiziInasikitisha. Nani alimfundisha? Hivi hana mume/ watoto.
Hawa madogo utasema umri, kampani, kuiga etc. Ila mtu kama Rose kuwa teja haiingii akilini kabisa! Maana hata disco haendi useme amejifunzia huko...
Mtu yoyote anaweza kuingia mkuu inategemea na we uko vp!
Na ktk maisha yako hata siku moja usimdharau mtu aliyeandika kwenye matumizi ya madawa
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app