Ferooz awaanika Prof Jay na Chege

Ferooz awaanika Prof Jay na Chege

Lavit

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2011
Posts
15,881
Reaction score
36,244
Katika wimbo wake mpya unaoitwa Nakaza roho, Ferooz ametapika sana nyongo! Kikubwa kasikitishwa na ndugu zake wa karibu Prof J na Chege kumtenga na kutotaka hata kumsikia.

Ameenda mbali zaidi na kudai ndoa yake imevunjika na mke kamkimbia, kifupi ni ngoma kali sana na inaweza kumrudisha kwenye chart.

Sikiliza na download wimbo hapa
 
Back
Top Bottom