Madimba jr
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 1,577
- 3,152
Katika wimbo wake mpya unaoitwa Nakaza roho, Ferooz ametapika sana nyongo! Kikubwa kasikitishwa na ndugu zake wa karibu Prof j na Chege kumtenga na kutotaka hata kumsikia.
Ameenda mbali zaidi na kudai ndoa yake imevunjika na mke kamkimbia, kifupi ni ngoma kali sana na inaweza kumrudisha kwenye chart.
Sikiliza na download wimbo hapa
GK,CHID BENZ,JAYMO,SAIDA KALOLI,RAY C,OMMY DIMPOZ,wote hawa wamejarib kujirudisha kwenye game but wamefeli....mwambie mziki wa sasa ni wa Wasafi,Aslay,Kiba,Nandy,na vitoto vingine,hao wakina chege walijitunza ndo mana mpk sasa wapo wapo kimtindo.......