Ferooz awaanika Prof Jay na Chege

Ferooz awaanika Prof Jay na Chege

Ningekuwa Profesa Jay ningemjibu kwamba aje nyumbani nimlee
 
Mimi si mchambuzi wa mambo ya muziki ila nadhani anatakiwa aelewe soko la muziki linataka nini kwa sasa akishaelewa na kutimiza hili then aje ajiulize maisha yake yanataka nini kwa sasa.
 
Katika wimbo wake mpya unaoitwa Nakaza roho, Ferooz ametapika sana nyongo! Kikubwa kasikitishwa na ndugu zake wa karibu Prof j na Chege kumtenga na kutotaka hata kumsikia.

Ameenda mbali zaidi na kudai ndoa yake imevunjika na mke kamkimbia, kifupi ni ngoma kali sana na inaweza kumrudisha kwenye chart.

Sikiliza na download wimbo hapa

Haina tofauti na underground ...
Kawaida sana......
 
Wala ngada huwa wanalawama kinoma, sasa alitaka pro jay hamfanyie nini?
 
Hivi kwanini kufail kwako uwaone wengine wabaya kisa hawakusaidii
 
Back
Top Bottom