Financial Analyst
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 1,605
- 2,748
Wakuu nisaidieni nijue fensi nzuri.
Michongomapasua chupa weka juu ya fensi
mtindo wa kiduwanzi sana huupasua chupa weka juu ya fensi
ukuta ukiwa mrefu ukiweka na chupa wezi hawapandi hiyo japo ya kiduanzi.. ulinzi wa kienyejimtindo wa kiduwanzi sana huu
Weka security camera,infact huwezi zuia wizi kama wizi maana hakuna ukuta unaoweza zuia mtu kuruka
Labda uweke mita 100,which is useless
Weka camera za kutosha anaekuja kuiba aibe ile mahakama lazima afungwe
Pia weka electrical fence on top kama vipi
Ila yote hayo ni kujaza mauchafu tu, weka empty fence then cameras
Nimecheka sana mkuuukuta ukiwa mrefu ukiweka na chupa wezi hawapandi hiyo japo ya kiduanzi.. ulinzi wa kienyeji
Na huu umeme wa kukata kata kila saa huoni pasipokuwa na umeme ni majanga?mtindo wa kiduwanzi sana huu
Weka security camera,infact huwezi zuia wizi kama wizi maana hakuna ukuta unaoweza zuia mtu kuruka
Labda uweke mita 100,which is useless
Weka camera za kutosha anaekuja kuiba aibe ile mahakama lazima afungwe
Pia weka electrical fence on top kama vipi
Ila yote hayo ni kujaza mauchafu tu, weka empty fence then cameras
Hua zinajichaji,mda wote inakua active hata kama hakuna umeme.Na huu umeme wa kukata kata kila saa huoni pasipokuwa na umeme ni majanga?
Kumbe bado umeme ukikatika kwako ndio mpaka Tanesco arudishe?Na huu umeme wa kukata kata kila saa huoni pasipokuwa na umeme ni majanga?
Umetumia njia ngumu na ya kikatili sana kunielewesha, ila shukrani nimekusomaKumbe bado umeme ukikatika kwako ndio mpaka Tanesco arudishe?
Weka standbly generator lenye Automatic Changeover Switch (ATS) ....weka hela kati ununue mfumo
Acha kunywa mabia halafu unaanza kulia lia Tanesco akikata umeme
Kingine ni maji,Dawasa akikata unaanza kukenua domo na kumwaga machozi,weka storage systems
Acheni umama manina,mnatafuta hela tu
DuhUmetumia njia ngumu na ya kikatili sana kunielewesha, ila shukrani nimekusoma
Hahahah jamaa ana stress si bure hahahUmetumia njia ngumu na ya kikatili sana kunielewesha, ila shukrani nimekusoma
Na huu ndio ukweli wenyeweFunga cameras, wezi ni vijana majirani zako hapo ambao wamevurugiwa mfumo wa maisha na serikali ya CCM
Fensi ya buganivilea na michongoma au maurtius thorns ni nzuri sana, mwizi hapenyi wala kupanda juu au kuikataLabda uweke mita 100,which is useless
Acha ufala, buy a machine gunWakuu nisaidieni nijue fensi nzuri.
Acha ufala, buy a machine gun
Bwana asipoulinda mjimtindo wa kiduwanzi sana huu
Weka security camera,infact huwezi zuia wizi kama wizi maana hakuna ukuta unaoweza zuia mtu kuruka
Labda uweke mita 100,which is useless
Weka camera za kutosha anaekuja kuiba aibe ile mahakama lazima afungwe
Pia weka electrical fence on top kama vipi
Ila yote hayo ni kujaza mauchafu tu, weka empty fence then cameras
HaaaFunga cameras, wezi ni vijana majirani zako hapo ambao wamevurugiwa mfumo wa maisha na serikali ya CCM