What?....Mungu wangu!
Felix Makene!, jamani jamani haya hii lini tena?..na nini zaidi haswa?...
Mwenye mawasiliano na ndugu zake (hasa Alfred) tafadhali naomba namba tafadhali..
Mungu amlaze mahala pema peponi,
Duh haya na alipokuwa JF alikuwa akitumia jina gani?...
Jamani tusiwe tunafichana ID kwa wale tuliotoka sehemu ama kukua pamoja hasa hapa JF maanake maswala kama haya huwa ni shock kubwa na tunashindwa hata pa kuanzia...
Saalaam kwa ndugu wote wa marehemu, ni majuzi tu kuna mtu aliniambia kuwa alikuwa kwenye life support na kwamba watamuondoa karibuni, anyways Mungu amlaze mahali pema peponi, na kama alikuwa member hapa, ni saafi sana na Mungu atamlipa tu kwa kusaidia kuwaamsha masikini na wanyonge hapa JF!
Adios amigo, adios my friend,
The road we have travelled has come to an end.
When two love the same love, one love has to lose,
And it's you who she longs for, it's you she will choose.
Adios compadre, what must be must be,
Remember to name one muchacho for me.
I ride to the Rio, where my life I must spend,
Adios amigo, adios my friend.
Instrumental while he whistles
Adios compadre, let us shed no tears,
May all your maanas bring joy through the years.
Away from these memories, my life I must spend,
Adios amigo, adios my friend...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.