Felix Makene Afariki Dunia!

Morani75

JF-Expert Member
Mar 1, 2007
613
19
WanaJambo wenzangu naomba niwasalimu.... Nimeingia kwenye www.issamichuzi.blogspot.com na kukuta habari kwamba Felix Makene/Felix Chambi amefariki dunia. Kwa kumbukumbu ya harakaharaka huyu ni yule mwenzetu ambaye tulietewa habari kwamba hali yake ilikuwa mbaya siku 2/3 zilizopita.....

Naomba kutoa pole zangu kwa mke na mtoto wa marehemu, familia, ndugu, jamaa na marafiki... Pia zaidi kwa WanaJambo wenzangu sababu alikuwa ni active member!!!! RIP Brother!!!

Naomba Mods waisogeze pale itakapojiri lakini nimeona niiweke hapa ili iweze someka na wengi wetu.... Mods, kama nimekosea kwa kuiweka hapa naomba radhi!!!!
 
WanaJambo wenzangu naomba niwasalimu.... Nimeingia kwenye www.issamichuzi.blogspot.com na kukuta habari kwamba Felix Makene/Felix Chambi amefariki dunia. Kwa kumbukumbu ya harakaharaka huyu ni yule mwenzetu ambaye tulietewa habari kwamba hali yake ilikuwa mbaya siku 2/3 zilizopita.....

Naomba kutoa pole zangu kwa mke na mtoto wa marehemu, familia, ndugu, jamaa na marafiki... Pia zaidi kwa WanaJambo wenzangu sababu alikuwa ni active member!!!! RIP Brother!!!

Naomba Mods waisogeze pale itakapojiri lakini nimeona niiweke hapa ili iweze someka na wengi wetu.... Mods, kama nimekosea kwa kuiweka hapa naomba radhi!!!!
Aiseee! majonzi tele mpiganaji mwenzertu hapa JF katutoka,ni ni vigele gele kwa mafisadi.Tutashinda tu.

Mungu amlaze mahala pema peponi.Amina
 
RIP bro Felix Makene, bwana alitoa bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe!
 
Mungu amlaze pema peponi,ametangulia mbele ya haki lakini vita bado ndiyo inaanza.

Pia,nawaombea ndugu jamaaa na marafiki katika kipindi hiki kigumu cha msiba
 
Mungu aiweke roho ya ndugu yetu felex mahala pema pepon. Napenda kuwapa pole familia na ndugu wa Marehemu kwa wakati huu mgumu wa msiba huu mzito kwetu sote. Tulimpenda Felex lakini Mungu amempenda zaidi na kazi ya Mungu haina makosa. Tumuombee na tuiombee familia yake kwa kipindi hiki kigumu.

Mungu ailaze roho ya marehemu felex mahali pema peponi. AMENI.
 
Mungu ailaze roho ya marehemu pema peponi. Amin

Raha ya milele umpe ee Bwana
Na Mwanga wa milele umuangazie
Apumzike kwa amani- Amina
 
Namwomba Mwenyezi Mungu Ailaze Roho ya Marehemu Pahali Pema Peponi, Amina.


SteveD.
 
Raha ya milele umpe ee BWANA na MWANGA wa milele umwangazie. Apumzike kwa Amani - AMINA.

Baadae katika wasifu wa marehemu (kwa kuwa alikuwa mpiganaji hapa) nafikiri haitakuwa vibaya tukiambiwa jina alilokuwa akilitumia hapa JF.
 
Man that is born of woman is of few days and full of troubles.'The Lord gave and the Lord has taken away,blessed be the name of the Lord"
 
poleni sana ndugu wa marehemu na marafiki kwa ujumla. tunaomba wale wanaomfahamu marehemu watujulishe jina alilokuwa akitumia mwenzetu hapa Jf kwani wengine pengine huenda twamtambua zaidi kwa jina hilo
 
Read the sad news.It is against our will and prayers. But who are we when The Lord decide. RIP comrade(?) real name Felix. I wish I could have known your yr contribution here. Admin I command you in the name of JF memebers to reveal the ID Our brethren Felix. so we can connect him with all he was fighting againt or preaching. Amen.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom