Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,734
- 6,292
Baada ya Fesal kuangukia pua tena kwenye Review ya hukumu iliyotolewa kati yake dhidi ya mwajiri wake klabu ya Young Africans sasa twende Moja kwa moja kwenye mada.
Klabu ya Yanga inaendelea kumlipa Feisal mshahara kama mtego wa kiufundi utakaokuja kumgharimu baadaye kama hatotaka kutumia busara na kucheza kiufundi zaidi.
TFF ilimlazimu kurejea mazoezini kwa kusema kuwa "Mamlaka ya soka nchini inamtambua kama mchezaji halali wa Yanga".
Yes Fei alitakiwa aendelee kupambania haki yake lakini alitakiwa atii kwanza maagizo ya mamlaka ya soka nchini ya kurejea klabuni.
Klabu inamlipa mshahara kuepuka na kukwepa kipengele cha kutomlipa mshahara wake waliosaini na kukubaliana kimkataba.
Fei anapaswa kutambua kuna kushinda ama kushindwa hata akienda CAS , je amejiandaa vipi na kushindwa sababu Yanga wamekaa vizuri katia Win win situation, hata kama Fei akishinda kesi wao haitawaumiza sana.
Let say Fei ameamua kwenda CAS akashundwa, unategemea Yanga watamfungulia madai mangapi?.. Kitendo cha kugomea kufanya kazi kwa mwaka 1.5 adhabu yake huko CAS itakuwa nini?
Feisal anapaswa kuwa makini hapa kwenye mitego hii ambayo inareflect future outcomes sababu Yanga wamekaa safe side kwa kuendelea kumlipa mshahara. Yeye Je?
Klabu ya Yanga inaendelea kumlipa Feisal mshahara kama mtego wa kiufundi utakaokuja kumgharimu baadaye kama hatotaka kutumia busara na kucheza kiufundi zaidi.
TFF ilimlazimu kurejea mazoezini kwa kusema kuwa "Mamlaka ya soka nchini inamtambua kama mchezaji halali wa Yanga".
Yes Fei alitakiwa aendelee kupambania haki yake lakini alitakiwa atii kwanza maagizo ya mamlaka ya soka nchini ya kurejea klabuni.
Klabu inamlipa mshahara kuepuka na kukwepa kipengele cha kutomlipa mshahara wake waliosaini na kukubaliana kimkataba.
Fei anapaswa kutambua kuna kushinda ama kushindwa hata akienda CAS , je amejiandaa vipi na kushindwa sababu Yanga wamekaa vizuri katia Win win situation, hata kama Fei akishinda kesi wao haitawaumiza sana.
Let say Fei ameamua kwenda CAS akashundwa, unategemea Yanga watamfungulia madai mangapi?.. Kitendo cha kugomea kufanya kazi kwa mwaka 1.5 adhabu yake huko CAS itakuwa nini?
Feisal anapaswa kuwa makini hapa kwenye mitego hii ambayo inareflect future outcomes sababu Yanga wamekaa safe side kwa kuendelea kumlipa mshahara. Yeye Je?