Huyo kocha hana hadhi hata ya kuifundisha Mbao fcHivi Wana Barca (Blaugranes) Wenzangu Vipi Mnauonaje ujio wa huyu Kocha Mpya Ernesto Velverde? Mkitizama utakuwa na impact gani katika timu, na Hii hatua yake ya kutaka Kumsajili Ander Herrera Mnaichukulia vipi?
Nadhani Suarez ana game banLeo fainali kombe la copa del rey. Nasikia suarez kaumia.
Kweli naona hapa. Yeye na Roberto wako suspended.Nadhani Suarez ana game ban
Hawa ni nyanya. Ila mkuu ni tu siyo tyuLeo ushindi tyu
Suarez majeruhi.... Kapata wakati wa maandalizi ya hii finalNadhani Suarez ana game ban
Alipata card nyekundu siku tumecheza na Atletico nusu fainaliSuarez majeruhi.... Kapata wakati wa maandalizi ya hii final