Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,007
- 13,799
Sevilla hawa wagumu....na ni away....
Kwny kufunga napinga apaPale anatengenezwa kijana Alena ni kiungo mzr sana na kumchukua Authur ni future idea mana dg anajua kudrive team kwenda mbele anajua kufunga na ku assist,
Afu kiwango walichokuwepo akina xavi, Iniesta, Busquat, Mess kuwapata mbadala wao kazi kweli ni level nyingne wale. Ndo kinawapa wakt mgumu utawala. Afu kingne sio kila mchezaji anaweza kufiti Barcelona. Ila tumeanza kuvuka kwa jinsi usajili ulivyo nauhakika team msimu ujayo itakua na muunganiko mzr sana.
Mm naiona 3-1 mkuuOyoooo niko inside the house
Tunashinda leo tena goli nyingi sana
3-0
The braugrana Forca_Barca
Sting like bee ,fly like butterfly
All night long
Polinho leo naona yuko vzr sana sijui baadaeNaona Paulinho kaanza vizuri.
Stop being fools. Ronaldo kawafunga estonia, Gilbarta, Macedonia,Latvia Cyprus n alike unakuja kupiga kelele hapa kulinganisha na timu alizocheza nazo king Messiah!Stop Insulting Ronaldo View attachment 728804