Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 19,526
- 37,943
Hahhaha poleMambo hovyoo kabisa ...
Fu.k Valverde
Hahhaha poleMambo hovyoo kabisa ...
Fu.k Valverde
Kwakweli sijauona kabisa mpira wetu...na kama kawaida ya Luis Suarez kukosa magoli keshaanza...naamini king angekuwemo tungeshibda tu hii gameLeo wajomba tumestahili kipigo
still a live
Yani ukisalimika na Ban basi wewe unatoka Gambosh
kweli kuku ni kuku tu Dembele wa kulinganishwa na Dicson ambundo unamlinganisha na neymar?yani we ndo taka taka shabiki uchwara kazi kuropoka tu.
emu angalia takwimu za huyo naymar na dembele kwa misim miwili ya kwanza utaona nani yupo juu afu ndo urudi tena jukwani hapa kuongea pumba zako
Naona umeamua kumchoma
Yani ukisalimika na Ban basi wewe unatoka Gambosh
Nyie Barca Kwa kocha huyo msimu huu ni wabovu mno, so hamuwezi kuwa benchmark kwa Real madrid aisee. You should focus on your next game na Real Betis. Timu ninayoiona itasumbua msimu huu sana sana ni Atletico Madrid!Leo pia Real Madrid naye anakufa pale celta vigo
Nyie Barca Kwa kocha huyo msimu huu ni wabovu mno, so hamuwezi kuwa benchmark kwa Real madrid aisee. Focus on your next game na Real Betis. Timu ninayoiona itasumbua msimu huu sana sana ni Atletico Madrid!
Kuhusu Atletico ni kweli wapo vizuri Barcelona Messi anarudi next game na ana goli zake mbili kama sio tatu,
Madrid Leo hapati ushindi hazard hayupo na wazee wenu Ramos na Modric lazima mfungwe tu
Mzee elewa kwamba kwa sasa Madrid hakuna dependency, iko kiteam zaidi! Hazard hakuletwa kuja kuwa tegemezi pale.
Hahaha watu mna maono sana.
Yani nyie Real Madrid msiongee kabbisa.Nyie Barca Kwa kocha huyo msimu huu ni wabovu mno, so hamuwezi kuwa benchmark kwa Real madrid aisee. You should focus on your next game na Real Betis. Timu ninayoiona itasumbua msimu huu sana sana ni Atletico Madrid!
Ufupi ndio ulimponza Jordi Alba sio makosa au uzembeMbona liva alba alitucost pia... Uefa is all about psychology
Hahahha! Na wala hatujapambana sana ndomana hatujapata hiyo sare.Leo hamtoki pale mji pambana sana sare mnapata
Tumeshinda 3-1 tukiwa pungufu uwanjani, unalizungumziaje hilo Ummayed kashasha?Yani nyie Real Madrid msiongee kabbisa.
Yani wachovuu wachovuu kushinda Barca
Hahaha kaka umeshinda bhana wacha nilale umeshinda.Hahahha! Na wala hatujapambana sana ndomana hatujapata hiyo sare.Tumeshinda 3-1 tukiwa pungufu uwanjani, unalizungumziaje hilo Ummayed kashasha?