FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Kuna kila dalili mwezi wa 3 tutakabidhiwa laliga letu halafu pia tunacheza match zote bila kufungwa mwaka huu kocha pamoja na mizuka yetu yote ila ni mtu brains sana ana strategies na yuko very flexible hata Dembele akishaelewa vizuri systems atakua anamtumia vizuri sana
Na huku left Jordi Alba na Coutinho anayekuja huyu pale kati ndo usiseme fireeee
 
Second half na dakika 15 za mwisho Barcelona hua wanatisha sana
Wazee naweka score board

Gap ni point 19 Red Giant alinirekebisha ila mimi naongeza moja iwe 20

Nafasi ya kwanza yaani mabingwa laliga
Acha wafu wazikane wenyewe na wenye kuangamia na waangamie. Na wale wanaopona walane wenyewe sisi tuendelee kupiga mvinyo. Mkuu mwekundu hiyo ni zekaria ngapi ? 😉🙂. Karibu tuendelee kupiga mvinyo!. Hao jamaa wakipigwa na Valencia(na hawawezi kupona) tutawaacha point 22. Yule Guedes na mwenzake Rodrigo hawawezi kuwaacha.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…