Kocha anampenda Jordi Alba hadi anamtengenezea mazingira awe free player left wing
Amemleta beki Lucas Digne ili akabe yeye acheze sana roles za kushambulia kuna kila dalili Griezman ataletwa
Wamezoea!!!!!!. Ila wakuu RB ya Roberto huwa inanifurahisha. Mafullback wengi wamezoea kucheza kama mawinga. Wanakimbia hadi kwenye kona kisha wanapiga cross(kama Marcelo mbovu). Roberto yeye anacheza kama RB/MD hybrid. Badala ya kukimbia pembeni kupiga cross anaingia katikati kama MD na kutengeneza nafasi.japo napenda Semedo apige RB ila Roberto huwa haniangushi.