FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

We are so relaxed we have to win tha game katikati tena kuna space nyingi sana hawa Madrididiots wanaziacha they are too weak and we have proved that tuna defence nzuri sana
 
Naipenda sana Barca, bora afungwe na timu yeyote ila lkn sio Madrid. Tatizo huyu kocha anaogopa game kubwa kama hizi, akiingia tu anaaza kuzuia badala ya kushambulia.
Ukishambulia unamchangnya mpizani wako na unamsababishia kufanya makosa.
Siko happy na huyu kocha
 
Yaan akishindwa kumfunga Madridogs ntakosa imani na kocha asee
 
Mkuu mbona nashindwa kuingia

Mkuu ingia youtube utakutana na link nyingi mno,,, utachagua unayotaka.....au ingia youtube again..andika real madrid and Barcelona live now...itakuijia neno LIVE ktk video then utaingia kuona mechi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…