Kocha leo katuua na sub zake mbovu, kumtoa Iniesta na Semedo mi nadhani haikua sahihi. Toka mapema Gomez ilibidi ampishe Sergi Roberto yan ad leo nashangaa kwanini Sergi Roberto anachezeshwa no.2 akati kama leo nilitarajia aanze nafasi ya Gomez.
Kocha leo katuua na sub zake mbovu, kumtoa Iniesta na Semedo mi nadhani haikua sahihi. Toka mapema Gomez ilibidi ampishe Sergi Roberto yan ad leo nashangaa kwanini Sergi Roberto anachezeshwa no.2 akati kama leo nilitarajia aanze nafasi ya Gomez.