mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 21,859
- 19,700
Yeah na lucas Digne LB naona dogo ana fit sema sasa anaemiloki namba ana fit kiasi gani?Naona wamemuanzisha vidal kwenye RB.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah na lucas Digne LB naona dogo ana fit sema sasa anaemiloki namba ana fit kiasi gani?Naona wamemuanzisha vidal kwenye RB.
Tunapo attack ndio style in short focus ni golini kwa aduiNaona tunapiga pasi ndefu. Ni mtindo wetu mpya nini?
Umepaona kati kati alivyopaimarisha velverde? Rakitic, Messi na Iniesta?nadhani ndio power house yake ya attack attack styleRaha sana kuwaona hawa vijana wakikipiga.
Nabaki nashangaa tu. naona hata neymar hatoki sana pembeni kama ilivyozoeleka. Ni kama tunapiga 442.Umepaona kati kati alivyopaimarisha velverde? Rakitic, Messi na Iniesta?nadhani ndio power house yake ya attack attack style
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu wengi hawapo kama dani, Bonnuci, higuain na dybala. Lakini sisi pia tumewapumzisha suarez, busquet, umtiti na alba. Hii ni timu dhaifu siku ile walituotea na mbinu mbovu.Hii ndio Juventus iliyotutoa au wamepanga second string?? mbona naona Barcelona kama wana stroll yaani Baca are not even sweating. Coach tuingizie huyo Semedo tumuangalie hawa Juve sio kipimo
Hahahhaahah. Kumbe unaicheki. Kama tunashinda lazima uione mbaya.mechi mbayaa hii mweer!!
mechi mbaya sababu Barca wanacheza kama wako training ground-sometimes your grey matter worksmechi mbayaa hii mweer!!
sema juve le wame achia kdogo ili mashindano iskose ladha flan hiviHahahhaahah. Kumbe unaicheki. Kama tunashinda lazima uione mbaya.
aaahmechi mbaya sababu Barca wanacheza kama wako training ground-sometimes your grey matter works