Iceman 3D
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 20,611
- 67,105
HahahaMkishika namba 3 mtanistua![]()
La liga niko na Madrid
Namba 1
Tungekuwa huko kwa kiwango chenu now tungekuwa namba mbili.
Maana tume cheza mechi 18 tuna points 39,
Nyie mmecheza mechi 17 mna point 35.
Nashangaa una nicheka
Poor refalona fan!
