Record Man
JF-Expert Member
- May 25, 2023
- 1,113
- 1,673
Jude alitoka majeruhi Tena hii ni mechi sijui ya 4 vile.Tunazungumzia individual skills usilete stori za kaisaidia timu.
Mfano Mbappe yeye akifunga halafu kukawa na uzembe wa mabeki ambao wanaigharimu timu kupoteza mchezo, sisi tutaangalia jukumu la mshambuliaji kwenye kufunga lilitimia.
Ndio maana unaweza kuona licha ya timu kukosa ubingwa lakini kiatu cha dhahabu cha ufungaji bora kimeenda kwa mchezaji wa timu iliyoshika nafasi ya 5.
Halafu unamuwekea excuse ya injury Lamine as if angecheza hizo mechi 4 angemfikia Mbappe. Haya nikisema kwenye hizo mechi nne umpe goli 4 atakuwa level sawa na Mbappe?
Je msimu ulioisha alikuwa na magoli mangapi?
Mbappe ni mechi ya juzi dhidi ya Juve ndio hakufunga, zingine zote alizocheza ameingia kambani.
Tena alifanyiwa upasuaji kbs.
Sasa dogo yeye jeraha la pubic area.
Haaaa