Kawaida.Hii timu sijui Ina Nini msimu huu.
Naona leo mnashangilia kweli.Jezi nzuri inagombaniwa kila mmoja anaitaka
Jipatie yako haraka kabla hazijaisha
View attachment 3494116
Tatizo lenu ni mdomoNaona leo mnashangilia kweli.
Kama mmechukua UCL kumbe umemfunga Barca.
Bado kidogo mpopp champagne 🍾
Mbona hata nyie mdomo mnao.Tatizo lenu ni mdomo
Tena kile kitoto chenu na wasiwasi na uraia wake kitakuwa kipemba bila shaka.
Maana sio rahisi watu wa Ulaya kuongea mipasho.
Vin ni mtu wa kupanic harakaMbona hata nyie mdomo mnao.
Au umesahau UCL msimu ulioisha maneno yenu kabla ya mechi ya second leg na Arsenal?
Tena sio maneno tu mna watu wana viburi na jeuri kina Vin.
Sema dogo lazima mumchukie.Vin ni mtu wa kupanic haraka
Umeona kama hapa, Vin anakaambia kadogo kapunguze u-mouth dogo anakuwa mbishi eti anataka apigane
View attachment 3494202
Watu walikuwa hawajaamua tu kumzingatiaSema dogo lazima mumchukie.
Kawatesa sana msimu ulioisha.
Kwani kuna mchezaji ambaye kila mechi anafanya vizuri? Mtaje kama yupo.Watu walikuwa hawajaamua tu kumzingatia
Leo kafanya kitu gani?
ConsistencyKwani kuna mchezaji ambaye kila mechi anafanya vizuri? Mtaje kama yupo.
Halafu dogo katoka majeruhi ya mfululizo usisahau hilo.
Kwani mbappe katoka majeruhi kama Yamal?Consistency
Mbappe na Lamine nani mwenye mwendelezo mzuri walau katika kila mechi mbili?
Tunazungumzia individual skills usilete stori za kaisaidia timu.Kwani mbappe katoka majeruhi kama Yamal?
Yamal msimu ulioisha kaisaidia Barca kukukusanya makombe yote ya Spain huyo mbappe wako kawasaidia nini?
Na huu msimu bado kabisa haujaisha kaa kwa kutulia uinjoi shoo.
Chuki zako kwa dogo hazitokupeleka kokote.
Refa alijitahidi kuwabeba lkn wapiBarcenyeto genge la wahuni