FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Screenshot_2024-03-15-22-08-50-1.png
 
Sasa buyern atafanya, yul anapigwa nje ndani mkuu.

Nyie barcanyeto ndio mwisho hatua hii ya robo, psg anakisasi, kocha anakisasi.
Napenda sana Barca tunavyochuliwa Underdog.This is Champions league brother,Knockout games sio league.Huku form ya kwenye league weka kapuni.Bayern unaemuona mbovu bundesliga kisa now anaongoza Leverkusen ,basi ukamchukulia poa!,huku ni experience ,mentality na moments.
 
PSG - Paris Saint-Germain Vs Barcelona hapa wanakutana Wote Unga unga,

Waswahili wanasema "Pipa Vs Mfuniko",

But to be Honest Barcelona Wana Afadhari kuliko Psg na kwenye Mechi ya Leo atakaetoka uwanjani na faida ni Barcelona,

Endapo Xavi ataingia Kwa nidhamu na kucheza Kama walivyocheza na Napoli Ugenini,
Barca wanaweza kushinda ama kudroo na hata wakipoteza basi sio Kwa idadi kubwa ya Magoli,

"Psg ni Mbappe na Mbappe ni Real Madrid, Kila la kheri kwake.
 
PSG - Paris Saint-Germain Vs Barcelona hapa wanakutana Wote Unga unga,

Waswahili wanasema "Pipa Vs Mfuniko",

But to be Honest Barcelona Wana Afadhari kuliko Psg na kwenye Mechi ya Leo atakaetoka uwanjani na faida ni Barcelona,

Endapo Xavi ataingia Kwa nidhamu na kucheza Kama walivyocheza na Napoli Ugenini,
Barca wanaweza kushinda ama kudroo na hata wakipoteza basi sio Kwa idadi kubwa ya Magoli,

"Psg ni Mbappe na Mbappe ni Real Madrid, Kila la kheri kwake.
We are dark horse in this tournament,tupo kama hatupo vile, ila tupo.No pressure at all Kwa sababu we are not favourites to win the tie,ukiangalia pia performance zetu zilizopita kwenye michuano hii last time to reach Quarter final ni 2020 huko,but still we believe our players, we can battle with anyone.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom