FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Eti de jong aliikataa man u kwasababu hataki kucheza europa?....... Hehehehehe
 
Barcenyeto barcenyoko kirikuu fc nyie ni timu ndogo mkiongoza ligi hata Sekunde mniite mbwa nimekaa
pale waja laana nyie yatima fc
 
Tambua hili, inter ni ngumu kuliko bayern
Kwasababu kwa mfumo wa xavi ni ngumu kuziattack timu zinazodefend low block na kuweka mtu tano nyuma.
Ndomaana hata mallorca alistruggle.
Bayern ana uwezekano wa kupigwa camp nou
Kwa wasiojua maana ya lamri, hii ndio maana yake halisi.
 
Ndugu wazee, wakati tukirejea kwenye msimu wa mpira baada ya World Cup naomba mnisaidie link ya kutazama mpira online. Ile link ya Domain Seized by Law Enforcement tuliyokuwa tunatazamia mpira imefungiwa rasmi na magaidi. Natanguliza shukrani.
 

Attachments

  • 1671425757747.png
    108.6 KB · Views: 32

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…