mtumishiwaleo
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 1,548
- 1,781
Barcelona nikama mbwa na chatu kwa Bayern, barcelona watarukaruka tu mwishowe wataachia tu,wameisha kubali kuwa vibonde kwa Bayern
Barcelona nikama mbwa na chatu kwa Bayern, barcelona watarukaruka tu mwishowe wataachia tu,wameisha kubali kuwa vibonde kwa Bayern
Hahaaaa brokelona fcWazee wa Mali kauli munapakuliwa visamvu kimasikhara![]()
,Leo tunampakata Bayern hapohapo sebuleni kwake. Sina wasiwasi kabisa!












hili timu linaaibisha nembo ya Spain waja laana nyie 









Mbona unaumia sana?Barcenyeto bana bora uangalie connection ya uwoya tu
Baada ya kupakatwa ,kapakatwa yeye na kukojolewa chumbani mwake
Nashindwa kuelewa tumefungwaje hii gamePamoja na kufungwa lakini nimefurahishwa na mpira tuliocheza, last time tunakutana na bayern walitutawala total, leo tumewapigia mpira mwingi usio na papara, ni ubao tu ndio unasema vinginevyo.
Mpira sometimes una matikeo ya kikatili sana hasa kwenye hii tournament (UEFA),usipokuwa clinical golini kwa mpinzani opponent atapata chance atakuazibu ndo kilichotokea jana.Team played well ni lack of composure + kuwa clinical kule mbele.Bayern anafungika hope tunaweza kupata matokeo camp nou.Visca barca...Nashindwa kuelewa tumefungwaje hii game
Dah kwa game ya jana Bayern alikua anakaa vizuri sana ila ndo hivo football is always full of surprises ngoja tuone next gameMpira sometimes una matikeo ya kikatili sana hasa kwenye hii tournament (UEFA),usipokuwa clinical golini kwa mpinzani opponent atapata chance atakuazibu ndo kilichotokea jana.Team played well ni lack of composure + kuwa clinical kule mbele.Bayern anafungika hope tunaweza kupata matokeo camp nou.Visca barca...
For sure huyu kocha wao Naiglessman mbinu zake haziendani na namna Bayern Munich asili ya uchezaji wake ilivyo naona ni vile tu attributes na quality za baadhi ya players zinambebaIla Bayern Ina shida mahali si bure licha ya kushinda.