Yeah barcelona wana upungufu wa forward baada ya Suarez na dembele kuumia so wameomba kusajili kuziba nafasi ila wameruhusiwa kusajili mshambuliaji ndani ya laliga tu!
Kipindi cha kwanza tumecheza kama timu ya daraja la 3 ila ni uwezo wa Messi ndo umetupatia haya magoli 3 bila yeye nadhani tungekua nyuma kwa goli au magoli
Kipindi cha kwanza tumecheza kama timu ya daraja la 3 ila ni uwezo wa Messi ndo umetupatia haya magoli 3 bila yeye nadhani tungekua nyuma kwa goli au magoli