hii team ndio ya kuchukua UEFA?
Messi akizidiwa hakuna wa kubadili matokeo na nashangaa kwanini Coutinho aliuzwa wakati pale benchi kuna wazee na watoto weng wasio na uzoefu
Huyu kocha hawezi kutupa ubingwa wa ulaya kama game za ugenini hawezi kushinda
Ata tukileta masuperstar wote hatuwezi tukiendelea kuwa chini ya huyu kocha.
Tunao wachezaji wazuri sana kuliko hata stering, lkn angalia stering alivyo fanywa na kubadilishwa.
hii team ndio ya kuchukua UEFA?
Messi akizidiwa hakuna wa kubadili matokeo na nashangaa kwanini Coutinho aliuzwa wakati pale benchi kuna wazee na watoto weng wasio na uzoefu
Huyu kocha hawezi kutupa ubingwa wa ulaya kama game za ugenini hawezi kushinda
Barca mwaka huu ikipata kikombe chochote itakua kwa neema tu,huwezi wazingua watu waliokua tayari kutolipwa stahiki zao ili ney arudi then unawaangusha.Pesa ya griezman wangeongeza wangempata neymar...wanamuangusha Messi kushinda balloon....!