Huyu Suarez huyu anapoteza mipira ovyo ovyo, control mbovu, kuumiliki Mpira tatizo. Japo anafunga ila katika nafasi 10 atafunga moja na atapoteza Mpira mara 20.
Shida kubwa ukuta wetu hasa Gelard yaani mfano lile goli tuliofungwa yaani mabeki watatu walikua wamemzunguka mfungaji anawatoka kirahisi anafunga....ter stegen alijitahidi sana jana mwisho akachoka.