FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Hatari sana .....hivi mazoezi ndio makali kumzidi ....kma sielewi
 
Jumatano tunawakaribisha Inter...ila ka tahadhari tuwe nako sasa hivi jamaa wapo on fire...kwao msimu huu ni tishio zaidi ya Juve..wameshinda mfululizo ktk game zao 7 walizocheza hapa karibuni....
Mungu atusimamie..
 
Kwao. Machinjioni haponagi mtu pale
Jumatano tunawakaribisha Inter...ila ka tahadhari tuwe nako sasa hivi jamaa wapo on fire...kwao msimu huu ni tishio zaidi ya Juve..wameshinda mfululizo ktk game zao 7 walizocheza hapa karibuni....
Mungu atusimamie..
 
Jumatano tunawakaribisha Inter...ila ka tahadhari tuwe nako sasa hivi jamaa wapo on fire...kwao msimu huu ni tishio zaidi ya Juve..wameshinda mfululizo ktk game zao 7 walizocheza hapa karibuni....
Mungu atusimamie..
Kwa Nou Camp sio rahisi kuondoka na ushindi ila kwao wangetupiga.
 
Jumatano tunawakaribisha Inter...ila ka tahadhari tuwe nako sasa hivi jamaa wapo on fire...kwao msimu huu ni tishio zaidi ya Juve..wameshinda mfululizo ktk game zao 7 walizocheza hapa karibuni....
Mungu atusimamie..
League yao inavibonde wote hakuna cha
wala nini..

Juve yenyewe inakuwaga
kwenye league yao ila wakija UCL ndoto zote zinaisha
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…