Bro embu tengua kauli.
Nimetizama mechi nzima.
Hakuna mtu alopoteza pasi na chance za kufunga km ansufati.
Griezmann kajitahidi uongo dhambi isipokuwa kule mbele hakuna watu wazuri wa kushirikiana nae.
Wote magalasa tu.
Sio huyo fala ansufati wala huyu mpuuzi mnyimi wa pasi perez.
Griezmann alitakikana acheze na king leo messi na Suarez ndio majibu mazuri zaidi yangetokea.