ni kweli tumefrahia ujio wa grizman lakn ukija kiufundi bado basa tutastago san msimu unaoanza kwenye uefa kwa sababu basa inaitaji san mpachika mabao sana wa kusaidiana na mess na sio mtengenezaji sana
ni kweli tumefrahia ujio wa grizman lakn ukija kiufundi bado basa tutastago san msimu unaoanza kwenye uefa kwa sababu basa inaitaji san mpachika mabao sana wa kusaidiana na mess na sio mtengenezaji sana
Kwa maoni yangu ni usajili mzuri sana only if AG atacheza natural position yake na sio kulazimishwa kucheza position ambayo sio yake kama yaliyomtokea Coutinho