Nadhani Ernesto Valverde akimkosa Dembele mara nyingi hutumia 4-4-2 ambao ni defensive system by nature, hasa katika game tough kama hii lakini Kwa sababu game ijayo ana uhakika wa uwepo wa Dembele nadhani atachukua 4-3-3 ili kufunga magoli mengi zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Imagine Kilaza kama huyu Asee anatumia JF.. Kat.ombwe tu huko!since niko binti chuo UDSM.
Nilisema tu manyua mlivo na viherehere goli moja mtajifunga.. Na kwelivsho kajipendekeza... Lilikua goli la coutinho
Hujui kuweka over halafu isitoke inavyouma hahaha yani lawama zote kwa nesi aka mtalii...anatembea tu uwanjani akipiga story
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona mapema hivyo taratibuKwa jinsi tulivyocheza leo tukikutana na liverpool tutegemee kilio afu kocha sielewi mbinu zake
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kama man u mtaitoa pale spain.....kwa liverpool inabd mjipange zaid. Game ya leo ilibeba tension kubwa sana na limepatikana narrowly goal la kujifunga....yote sawa mana hilo gol limetokana na pressing mliofanya
Yaan me nahic kama bila bilaSina furaha ya kagoli kamoja haka... Waingereza wanachonga sana... Nilitaka wafanyiwe humiliation na ole akome kutembea tembea viwanja vya watu
Zile ndorobo jana zilipaswa ziliwe tatu kavu..Assist by King
Hakuna timu nyepesi kuifunga kama Liverpool ..shuhudia jumapili Chelsea atakachomfanya.Kwa jinsi tulivyocheza leo tukikutana na liverpool tutegemee kilio afu kocha sielewi mbinu zake
Sent using Jamii Forums mobile app
hata kwa Lyon tena tulidraw sio kushinda kama jana, lakini walipotua Camp Nuo walikula mkono. Manure sioni wapi watatokea aise.
Kwa jinsi tulivyocheza leo tukikutana na liverpool tutegemee kilio afu kocha sielewi mbinu zake
Sent using Jamii Forums mobile app
Alot of spaces katikati ya dimbaBarcelona were off colour,but did Stergen have any save to make??:?:?: Velverde sijui kwanini akuchezesha team high line?katikati kulikuwa na vacuum kutokana na back za Barca kukaa nyuma sana
Na Kwa Liverpool alivyocheza na Porto juzi hatufungi ata tukimpangia Barca BKwa jinsi tulivyocheza leo tukikutana na liverpool tutegemee kilio afu kocha sielewi mbinu zake
Sent using Jamii Forums mobile app
Malaya hua hajifichi ,kwa yeye zawadi kwake ni mbunye yakeMuangalie kahaba mwingine uyu
Badala ukachezee koki unakuja na vyupi hapa, sasa ushajionea aya nenda wakakukaze mbele
Sent using Jamii Forums mobile app