FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Tutashinda Leo Old Trafford

Style yetu letu itakua imechangamka kidogo...yaani tutaupiga mpira mwingi kwa lengo la ku possess and holding balls

Key players of our match watakua ni midfielders wakati wa mashambulizi machache ya kustukiza na wakati wa ku attack Jordi Alba,Dembele/Coutinho ,Messi(central field role) and Suarez will be instrumental

Balance ya team katikati wakati wa kushambulia italetwa na Messi ,Rakitic na Arthur Mello na Busquets(penetration balls)
Kushoto Alba,Coutinho/Dembele..
Kulia S.Roberto itabidi aanze leo kwa ajili ya ku offer attacks wakishirikiana na Messi (left flank roles)

Striker (Suarez ) shall be forced to play wide kwa ku swing left na right flanks of the field lakini inabidi anticipate superimposition ,his movements is key for confusing and distracting opponent huku ikiwapa spaces wachezaji wengine kua unoccupied na kucheza mpira

In short Man U Leo katikati wanaenda kuwa overwhelmed (strength yao iko hapo) so we will be choking then by our philosophy " bad players wa adui ndio tunataka wacheze Mara nyingi mpira na tunauchukua pindi tunapotaka"

Pique ,Lenglet /Umtiti watakua wanakabia kwenye lower margin kabisa ya defence ,kama katikatika wakicheza vizuri watakua na time na space kubwa za kupiga long range passes na kushambulia set pieces

Match prediction Barcelona 2 hadi 3 ,na Man U -0
 
Nimekutana na hii mahala, imenichoma kama pasi...

Wasituangushe leo daah...
 
watched yesterdays game btw Spurs and City-these English teams have no wing backs-how is one gonna win a game? Only a controversial VAR decision would win Man U this game as happened against PSG
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…