FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Hii comment hiiiiiii 😀😀😀😀😀

Screenshot_20190403-005051_Instagram.jpg


Kama upo humu jitokeze babaaaa...
 
I'm playing for myself, my family, and all those who enjoy what I do. And those who don't like me have to tolerate me for a while (laughs)."( Messi 2019)

Acha niendelee Ku enjoy unachofanya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Let's enjoy the moment, amesema atacheza hadi pale ambapo itambidi.. Natabiri atakua mchezaji wa kwanza kustaafu kwa umri mkubwa akiwa bado hot
Kunamuda unafika unakosa cha kusema kuhusu Messi, akistaafu Kuna vitu tutavikosa kwakweli. Malcom alikua na first half nzuri lkn partnership ya Umtiti name clement bado sanaaa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent by anonymous user
 
Khalidoun huyu messi ni zaidi ya mwanadamu wa kawaida kutokana na matendo yake anayoyafanya akiwa uwanjani.
  • mechi ya 28 amepiga freekick upande aliokaa golikipa
  • mechi ya 29 (espanyol) alipiga freekick upande wa pili ambao kipa alishaweka ukuta wake wa kujidai.
  • mechi ya 30 amepiga freekick upande aliokaa golikipa
  • ina maana mechi ijayo atapiga freekick upande ambao kipa ataweka ukuta wake wa kujidai (kwa rafu za kipumbavu za wachezaji wa man utd huenda adhabu hii ikamkuta david degea.
 
“I am sure he will be one of the next board’s candidates”

Speaking about Barcelona’s former boss, Bartomeu revealed Guardiola will likely be in the next board’s plans.

Bartomeu also explained that a Guardiola return would be “great for the club and for the players.”

“He took the decision to leave and, of course, when Barca are looking for a new coach I am sure he will be one of the next board’s candidates,”Guardiola explained to ESPN.

“I think Pep said recently that he didn’t see himself as the first team coach again, but maybe with the academy.

“He’s very clear on the club’s philosophy and style of play and to be able to bring him back home would be great for the club and for the players.”



Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom