Uchanga wa City unamezwa na winning mentality ya Pep Guardiola. Sio mtu wa kumchukulia poa!Mkuu City kwenye mashindano haya bado wa changa sana wanaweza tolewa any time
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu City kwenye mashindano haya bado wa changa sana wanaweza tolewa any time
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa kinachonisumbua tu kichwa ni namna gani klopp kama ataweza kumtoa porto atakavoweza kukipanga kikosi chake dhid ya chama kubwa Utd kwenye sem-final. Nawapa home work barca waende ufaransa waulize alipopita utd alifanya nini??? Then wayafanyie kazi watakachoambiwa huko!! Watanishukuru badae ingawaje bado haitozuia chochote kwa wao kutokufungiwa virago pale pale camp nou
Sent using Jamii Forums mobile app
Uzuri wa mpila unachezwa uwanjani dakika tisini na siyo mdomoni au kwenye keyboards.
Kama ingekuwa matokea yanapangwa kwa matakwa ya mashabiki wa timu Fulani basi hakuna timu ingefungwa duniani.maana mashabiki siku zote wanataka timu yao ishinde ..so hata nyinyi mashabiki wa humu ni hali yenu kusema Barca atapita maana hamuwezi kusema kinyume.
Ila hiyo mechi si rahisi kama m unavyodhani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Juventus hawa ndio vibonde kabisa Man city atajipigia kirahisi
Juventus hawa ndio vibonde kabisa Man city atajipigia kirahisi
Umejuaje? Maana kila mtu anasema juve atakutana na city. Yaani tayari nusu fainali inajulikana. Na wewe kumbe unajua mpaka final, wewe ndie unaejua mpiraTim ambayo naipa nafasi kubwa ya kukutana na Barca in the final ni City....wengine wakafie mbele....
City ya zamani ndio walikuwa wachanga ila ya sasa ni balaaa,Mkuu City kwenye mashindano haya bado wa changa sana wanaweza tolewa any time
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila team ilitamani sana wapangiwe eiza manu ama porto.Hapa kinachonisumbua tu kichwa ni namna gani klopp kama ataweza kumtoa porto atakavoweza kukipanga kikosi chake dhid ya chama kubwa Utd kwenye sem-final. Nawapa home work barca waende ufaransa waulize alipopita utd alifanya nini??? Then wayafanyie kazi watakachoambiwa huko!! Watanishukuru badae ingawaje bado haitozuia chochote kwa wao kutokufungiwa virago pale pale camp nou
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo hicho nilichokuwa namaanisha.Klop wamempa tim laini sana kamanda wangu,
Kuhusu Man u, mtapigwa kote kote IN and OUT, hili halina ubishi....tena nitaifufua comment yako pls usiidelete tu!!!
Ndo hicho nilichokuwa namaanisha.
Man U na Porto ndio the weakiest clup kwenye hii last 8. Yaani kila timu zilitamani sana zipangiwe hao. Baati nzuri ikaangukia kwa liver na barca.
Jamaa aliamua acheke tuu maana he can't stop king messiView attachment 1046437
Sent using Unknown device
Mkuu keep your expectations low, and enjoy the game,Hapa kinachonisumbua tu kichwa ni namna gani klopp kama ataweza kumtoa porto atakavoweza kukipanga kikosi chake dhid ya chama kubwa Utd kwenye sem-final. Nawapa home work barca waende ufaransa waulize alipopita utd alifanya nini??? Then wayafanyie kazi watakachoambiwa huko!! Watanishukuru badae ingawaje bado haitozuia chochote kwa wao kutokufungiwa virago pale pale camp nou
Sent using Jamii Forums mobile app
Man wana jiamini sana kisa wamepita. Wanadai wao uchukua uefa kila baada ya miaka 10
Sent using Unknown device
Naona itakuwa ni Juve mkuu kwa jinsi ninavyoona.Wakuu, nusu fainali tunacheza na nani?
Robo fainali tumeshavuka.
- KANA -
Barcelona ingekuwa bora si ingevunja rekodi ya Ac milam makonbe 7 au madrid miaka yate inatolewa na timu level za manchester united tu labda mjifariji hivyo hivyo tumeona roma mwaka jana kampa chuma 4
Uefa wameamua kabisa kuitoa manureKuna shabiki wa man U tangu saa nane itoke fixtures ana hara na kupiga chafya in one direction
Nani ana mpira wa mdomoni sio nyie manure.. nyie kila gemu kwa kuobgea huwa mnashinda ...kwa jinsi mnavyoichukia barca ndo mtazidi kuichukia zaidi ..Uzuri wa mpila unachezwa uwanjani dakika tisini na siyo mdomoni au kwenye keyboards.
Kama ingekuwa matokea yanapangwa kwa matakwa ya mashabiki wa timu Fulani basi hakuna timu ingefungwa duniani.maana mashabiki siku zote wanataka timu yao ishinde ..so hata nyinyi mashabiki wa humu ni hali yenu kusema Barca atapita maana hamuwezi kusema kinyume.
Ila hiyo mechi si rahisi kama m unavyodhani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unateseka sana